Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, September 24, 2012

KAMPUNI YA KUSAFIRISHA MIZIGO YA SERENGETI FREIGHT FORWARDERS LTD YAKABIDHI MSAADA WA VITU MBALIMBALI VILIVYOTOLEWA NA WATANZANIA WAISHIO UINGEREZA KUWASAIDIA WAKAZI WA MABWEPANDE



Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam  Saidi Meck Sadiki (kulia) akipokea msaada wa vitu mbalimbali vilivyotolewa na watanzania waishio nchini Uingereza kuwasaidia wakazi wa Mabwepande walioathiriwa na mafuriko yaliyotokea mwezi Desemba 2011 jijini Dar es salaam leo. Wanaokabidhi msaada huo ni kutoka kushoto ni Awadh Salim mkurugenzi wa Kampuni hiyo, Bw. Mohammed Abdulrahaman Meneja wa kampuni hiyo Tanzania na Bw. Chris  Lukosi, Mkurugenzi wa  Kampuni ya Usafrishaji wa Mizigo ya Serengeti.

Mkurugenzi wa  Kampuni ya Usafrishaji wa Mizigo ya Serengeti (Serengeti Freight Forwarders Ltd) Bw. Chris Lukosi akimkabidhi  Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam  Saidi Meck Sadiki (kulia) moja ya boksi lenye vitu mbalimbali vilivyotolewa na watanzania waishio nchini Uingereza kuwasaidia wakazi wa Mabwepande walioathiriwa na mafuriko yaliyotokea mwezi Desemba 2011 jijini Dar es salaam.

Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam akiwaeleza jambo viongozi wa Kampuni ya Usafirishaji wa Mizigo ya Serengeti (Serengeti Freight Forwarders Ltd) iliyosafirisha bure msaada wa vitu mbalimbali vikiwemo viatu, nguo na vifaa vya watoto vilivyotolewa na watanzania waishio nchini Uingereza kuwasaidia wakazi wa mabwepande.

No comments :

Post a Comment