Rais
Dk Jakaya Mrisho Kikwete akiweka jiwe la msingi kuashiria kuzindua
rasmi ujenzi wa Daraja la Kigamboni katika hafla iliyofanyika huko
Kurasini jijini Dar es Salaam leo mchana. Kushoto ni Waziri wa Ujenzi Dk
John Pombe Magufuli na wa pili kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa NSSF Dk
Ramadhani Dau. NSSF itagharamia asilimia 60 za ujenzi wa daraja hilo na
serikali asilimia 40. (Picha na Freddy Maro)
RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN ATOA MKONO WA EID KWA WENYE UHITAJI DODOMA
-
Mkuu Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary S. Senyamule Machi 30,2025 amekabidhi kwa
niaba ya Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Daktari Samia
Suh...
11 hours ago
No comments :
Post a Comment