Rais
Dk Jakaya Mrisho Kikwete akiweka jiwe la msingi kuashiria kuzindua
rasmi ujenzi wa Daraja la Kigamboni katika hafla iliyofanyika huko
Kurasini jijini Dar es Salaam leo mchana. Kushoto ni Waziri wa Ujenzi Dk
John Pombe Magufuli na wa pili kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa NSSF Dk
Ramadhani Dau. NSSF itagharamia asilimia 60 za ujenzi wa daraja hilo na
serikali asilimia 40. (Picha na Freddy Maro)
MKUU WA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI WIZARA YA FEDHA ATOA RAI UTOAJI
WA TAARIFA SAHIHI NA KWA WAKATI
-
Mwenyekiti wa Kamati Mawasiliano ambaye pia ni Mkuu wa Kitengo cha
Mawasiliano Serikalini Wizara ya Fedha, Bw. Benny Mwaipaja amewataka
wajumbe wa Ka...
1 hour ago
No comments :
Post a Comment