Mkurugenzi mkuu wa Lapf Eliud Sanga
pichani katikati akizungumza na vyombo vya habari kuelezea mkutano ulionza leo
wa wanachama wa mfuko huo wa jamii ambapo mkutano huo utafungwa kesho na Rais wa
Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete na unafanyika kwenye
ukumbi wa AICC jijini Arusha kwa siku mbili kushoto kwake ni afisa uhusiano wa
mfuko huo Endruw kueyana na kulia ni afisa masoko Mablangeti. (Picha na Mahmoud
Ahmad Arusha)
BALOZI NCHIMBI ATETA NA MWANAHABARI MKONGWE NCHINI KIBANDA
-
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. John Emmanuel Nchimbi
akizungumza jambo na Mwandishi mkongwe, Mwenyekiti Mstaafu wa Jukwaa la
Waha...
1 day ago
No comments :
Post a Comment