Mkurugenzi mkuu wa Lapf Eliud Sanga
pichani katikati akizungumza na vyombo vya habari kuelezea mkutano ulionza leo
wa wanachama wa mfuko huo wa jamii ambapo mkutano huo utafungwa kesho na Rais wa
Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete na unafanyika kwenye
ukumbi wa AICC jijini Arusha kwa siku mbili kushoto kwake ni afisa uhusiano wa
mfuko huo Endruw kueyana na kulia ni afisa masoko Mablangeti. (Picha na Mahmoud
Ahmad Arusha)
RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN ATOA MKONO WA EID KWA WENYE UHITAJI DODOMA
-
Mkuu Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary S. Senyamule Machi 30,2025 amekabidhi kwa
niaba ya Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Daktari Samia
Suh...
4 hours ago
No comments :
Post a Comment