Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, September 24, 2012

MKUTANO WA LAPF KUANZA ARUSHA




Mkurugenzi mkuu wa Lapf Eliud Sanga pichani katikati akizungumza na vyombo vya habari kuelezea mkutano ulionza leo wa wanachama wa mfuko huo wa jamii ambapo mkutano huo utafungwa kesho na Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete na unafanyika kwenye ukumbi wa AICC jijini Arusha kwa siku mbili kushoto kwake ni afisa uhusiano wa mfuko huo Endruw kueyana na kulia ni afisa masoko Mablangeti. (Picha na Mahmoud Ahmad Arusha)

No comments :

Post a Comment