Mkurugenzi mkuu wa Lapf Eliud Sanga
pichani katikati akizungumza na vyombo vya habari kuelezea mkutano ulionza leo
wa wanachama wa mfuko huo wa jamii ambapo mkutano huo utafungwa kesho na Rais wa
Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete na unafanyika kwenye
ukumbi wa AICC jijini Arusha kwa siku mbili kushoto kwake ni afisa uhusiano wa
mfuko huo Endruw kueyana na kulia ni afisa masoko Mablangeti. (Picha na Mahmoud
Ahmad Arusha)
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment