Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, September 22, 2012

HATIMAE WAISILAMU WATANZANIA WAUNGANA NA WENZAO DUNIANI KOTE KULAANI FILAMU YA KUMKASHIFU MTUME MOHAMMAD (SAW).



Waisilamu waliojitokeza kwa wingi kwenye viwanja vya Kidongo chekundu leo wakionyesha ujumbe unaozilaani nchi za Marekani na Israel, ikiwa ni sehemu ya kuonyesha hisia zao dhidi ya filamu iliyotengenezwa nchini Marekani ikimkashifu mtume Mohammadi (saw).
Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiisilamu Tanzania Sheikh Ponda Issa Ponda akisoma Tamko la waisilamu kwenye mkutano huo uliofanyika leo kwenye viwanja vya Kidongochekundu jijini Dar es Salaam.

No comments :

Post a Comment