Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, September 19, 2012

MSHINDI WA TIGO BEATS AKABIDHIWA KITITA CHAKE.



Mkazi wa Kijiji cha Kigugu, Kata ya Sungaji, Wilaya ya Mvomero, Mkoa wa Morogoro, Hamis Athuman Pita (19), ( kushoto ) akipokea hundi ya mfano yenye thamani ya Tsh.10Millioni, kwa Msimamizi wa Kampuni ya Tigo Kituo cha Morogoro Neema Mashingia, anayehudumia pia na Mikoa ya Dodoma, Iringa,
Mbeya na Ruvuma baada ya kijana huyo kushinda shindano la promosheni ya Tigo Beats, iliyoendeshwa na Kampuni hiyo kuanzia Mei 21 hadi Julai 19 mwaka huu, ( kati kati) ni Mfanyakazi wa Tigo Morogoro,Vissa Majitaka.
 Hamisi athumani akiwa na mfano wa chekiyake mara baada ya kukabidhiwa.
Msimamizi wa Tigo Morogoro Neema Mashingia akizungumza mara baada ya kumkabidhi Mshindi huyo hundiyake.

No comments :

Post a Comment