Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, September 24, 2012

SERIKALI YA CHINA YAKABIDHI KOMPYUTA NA VITABU KWA MAKTABA YA TAIFA (TLSB)




Mkurugenzi Mkuu wa Maktaba ya Taifa (TLSB), Dk.  Alli Mcharazo (kushoto) akifanya makabidhiano na Mwakilishi wa serikali ya China (kulia), Ling U  baada ya kusaini makubaliano katika hafla iliyofanyika jijini Dar es salaam leo, ambapo Serikali ya watu wa China wamekabidhi vitabu vya kusomea, kompyuta na makabati ya kuwekea vitabu katika maktaba ya  taifa ya vitabu nchini (TLSB). (Picha na Mwanakombo Jumaa MAELEZO)

Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Selestine Gisimba akijaribu kutumia moja ya kampyuta zilizokabidhiwa na Serikali ya watu wa China kwaajili ya matumizi ya maktaba kuu ya taifa nchini leo. (Picha na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO).

No comments :

Post a Comment