Muigizaji nyota wa Filamu nchini Elizabeth
Michael a.k.a Lulu (17) anaehusishwa na kifo cha Muigizaji
Mwenzie, Marehemu Steven Kanumba, aliye fariki dunia Aprili 7 mwaka huu
nyumbani kwake maeneo ya Vatican Sinza Jijini Dar es Salaam. Akiwa katika muonekano mpya tokea
amepelekwa lupango. Kwa sasa msanii huyu anaonekana kunenepa wakati kila mtu
anaamini yuko kwenye kipindi kigumu sana pengine kuliko vipindi vyote
katika maisha yake tangu azaliwe. Kingine najiulizaga siku zote ile
mimba ambayo ilikua ikiongelewa sana imepotelea wapi?
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment