Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, September 29, 2012

YANGA YAMSAINISHA MKATABA WA MWAKA MMOJA KOCHA MPYA WA APR ERNSTUS BRANDA LEO





Kocha mpya wa Yanga, Ernstus Brands, akisaini mkataba wa mwaka mmoja kwa ajili ya kuiona klabu hiyo, kushoto ni makamu Mwenyekiti wa Yanga Clement Sanga, akimpa maelekezo, wakati wa hafla fupi iliyofanyika leo katika Klabu hiyo. Kabla ya kujiunga na Yanga, kocha huyo alikuwa akiifundisha APR ya Rwanda. 
 Makamu Mwenyekiti wa Yanga Clement Sanga, pamoja na kocha mpya wa Yanga wakisikiliza maswali kutokwa kwa waansishi wa habari ambao walihudhuria tukio la Yanga kumtambulisha kocha huyo mpya ambaye atarithi mikoba ya Mbelgiji, Tom Saintfiet, ambaye alitimuliwa hivi karibuni.
Baadhi ya waandishi wa habari waliohudhuria hafla hiyo lililofanyika asubuhi ya leo makao makuu ya klabu hiyo yaliyopo mitaa ya Jangwani na Twiga. Picha zote kwa hisani ya Bin Zueiry Blog

No comments :

Post a Comment