Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, September 24, 2013

Baby Madaha awaangukia mashabiki wake



Baby Madaha
 STAA wa filamu na muziki wa kizazi kipya nchini, Baby Madaha, amewaomba mashabiki wake kumpa sapoti wakati akifanya kazi chini ya kampuni ya Candy n Candy ya Kenya.
Aidha wimbo mpya wa msanii huyo aliyoutoa chini ya kampuni hiyo alioingia nao mkataba wa miaka miwili wa 'Summer Holiday' umeanza kubamba katika vituo vya redio na runinga baada ya kuusambaza.
Mkali huyo aliyewahi kutamba na wimbo wake ulokuja kuzaa albamu yake ya kwanza ya 'Amore', alisema anaomba sapoti ya mashabiki ili aweze kusonga mbele katika mwanzo wa mafanikio yake katika anga la kimataifa sasa akifanya kazi Kenya na Bongo.

No comments :

Post a Comment