Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, September 19, 2013

MAONYESHO YA WANASAYANSI VIJANA WA SHULE ZA SEKONDARI TANZANIA FROM MAE

Mwanafunzi  wa shule ya sekondari ya wasichana Jangwani Liberata Kasekwa (kushoto) akimulezea mwl. Salome Mbago kutoka  shule ya sekondari Morogoro  (katikati) aliyeshikilia chupa nyenye dawa ya kuulia wadudu iliyotengenezwa kwa kutumia limao kwenye maonesho ya Wanasayansi Vijana wa Tanzania yaliyofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee leo jijini Dar es Salaam. Picha na Eleuteri Mangi - MAELEZO
 



 Mwamuzi wa maonesho ya Wanasayansi Vijana wa Tanzania kutoka Kitengo cha Masuala ya Teknolojia  wa ESB International  Edwina O’ Callaghan (kushoto) akisikiliza maelezo juu ya matumizi ya umeme wa mwanga wa jua kwa matumizi ya kupikia kwa kutumia  jiko lililotengenezwa kwa ajili ya kupikia (Oven) kutoka kwa mwanafunzi Deogratius Daudi wa shule ya Sekondari  Mwembeni kutoka mkoani Mara (kulia), katikati ni mwanafunzi Yusuph Tito.
Mbilimbi ni tunda linalotumika kama chachandu (kiungo cha mboga) kwa ajili ya kuongeza ladha ya chakula, lina uwingi wa asidi (citric acid) ambayo ni muhimu kwa binadam mahususi kwa ajili ya mmeng’enyo wa chakula mwilini. Linatumiwa hasa mikoa ya ukanda wa Pwani ikiwemo Dar es Salaam, Morogoro,Pwani, Lindi na Tanga. Shule ya Sekondari ya Wasichana Kilakala kutoka mkoani Morogoro (imewakilishwa na Irene Maigwa na Betha Shao wote kidato cha sita) kwenye banda lao la maonesho  ya Wanasayansi Vijana wa Tanzania yaliyofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee leo jijini Dar es Salaam.
 

No comments :

Post a Comment