Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, September 24, 2013

TID MNYAMA AISAMBAZA 'TAMU ASALI'



Na Elizabeth John
MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Khalid Mohamed ‘TID’ Ameachia kibao chake kipya hivi karibuni kinachokwenda kwa jina la ‘Tamu Asali’.
Akizungumza jijini Dar es Salaam, TID alisema, katika kazi hiyo kashirikiana vema na wasanii kama Cassim Mganga na Mr Blue ambao anaamini wameitendea haki kazi hiyo kutokana na uzoefu wao katika muziki.
“Nina imani itapokewa vema na mashabiki kutokana na uwepo wa wakali hao ambao wanafanya vizuri katika muziki huo na wanakubalika katika jamii,” alisema TID.
Alisema ameamua kushirikiana na wasanii hao kutokana na kuwakubali na kuzikubali kazi zao katika ‘game’, tangu akiwa mgeni katika fani hiyo.
TID, aliwataka mashabiki na wapenzi wa kazi zake kukaa mkao wa kula kwa ajili ya kazi hiyo, ambayo anaamini ataisambaza pamoja na video yake ili kuwapa raha mashabiki wake.

No comments :

Post a Comment