Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, September 20, 2013

CHAMELEONE KUMGEUKIA MUNGU




MSANII wa nyota wa Afrika Mashariki, Jose Chameleone ameamua kumgeukia Mungu na anatarajia kutoa kibao kipya cha gospel alichokipa jina la ‘Tubonge’.
Chameleone ambaye kwa sasa anatamba na single yake ya badilisha aliandika kwenye ukurasa wake wa mtandao wa kijamii kuwa kwa sasa anataka kumgeukia Mungu na kwa kuanza anatoa wimbo huo ambao ni shukrani kwa Mungu.
“Tunamuhitaji Mungu kwa wakati huu. Hasa katika kipindi hiki cha hukumu.” Aliandika Chameleone katika ukurasa wake kuwaeleza mashabiki wake wa muziki duniani kote.
Wimbo huo utakuwa wa pili kwa Chameleone utakuwa ni wa pili wake kwani awali aliwahi kushirikishwa na msanii wa Zambia, Mampi wimbo ulioitwa Nimakwanisa ambao umefanya vizuri sana barani Afrika.

No comments :

Post a Comment