Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, September 20, 2013

WAJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI WATEMBELEA ZBC REDIO RAHALEO MJINI UNGUJA LEO.



 Mkurugenzi wa ZBC Ndugu Hassan Mitawi akiwapatia maelezo baadhi ya wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kuhusu matangazo kutoka kwenye analog kwenda kwenye Digitali katika ofisi za ZBC Radio Rahaleo Mjini Zanzibar leo. 
Muhariri Mkuu wa Shirika la Magazeti Bw. Abdalla Moh’d akiwaonyesha wajumbe wa Baraza la Wawakilishi jinsi utayarishaji wa gazeti kabla ya kuprintiwa, katika ziara ya wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Rahaleo Mjini Zanziabr leo. Picha na Dula Chaz wa Maelezo Zanzibar.

No comments :

Post a Comment