Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, September 24, 2013

Kikosi cha wachezaji wa Airtel Rising Star Tanzania chawasili nchini kikitokea jijini Lagos Nigeria



Mabigwa wa michuano ya Airtel Rising Stars Afrika kwa upande wa wasichana Timu ya Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Julius Nyerere jana usiku.
Kikosi cha timu ya Airtel Rising Stars cha Tanzania wakiwa kwenye Bus tayari kwenda hotelini mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Julius Kambarage nyerere jana usiku.
Mzazi wa mchezaji wa kike, Donisia Daniel  akimpokea mwanae kwa furaha.
Afisa Uhusiano wa Airtel, Jane Matinde (mwenye rasta) akiwalaki wachezaji  mara baada ya kuwasili kutoka katika michuano ya Airtel Rising Stars nchini Nigeria. Pichani ni baadhi ya watu waliojitokeza usiku huo kuwapokea wachezaji hao.

No comments :

Post a Comment