Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, September 14, 2013

TINO ANGIZA SOKONI FILAMU YA MIMI NA MUNGU WANGU



MSANII wa Filamu nchini Tino Muya ameingiza sokoni filamu yake mpya inayokwena kwa jini la Mimi na Mungu wangu ambayo imekuwa gumzo nchini

akizungumza na safu hii Tino amesema filamu hii iliyotoka baada ya ile iliyotamba ya CID ni nzuri na ina mafundisho ndani yake kwani utakiwi kuikosa

Mana ni moto wa kuotea mbali alisema Tino. ambaye kwa sasa amejikita katika filamu za mapigano ameonekana tofauti na wenzake kwa kuwa amesha shiriki katika filamu nyingi za mapenzi

No comments :

Post a Comment