Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, September 12, 2013

WANA MASUMBWI WAMIMINIKA MSIBA WA TEMBO MTOTO




Bondia Raston Phill kushoto akisalimiana na Trene wa GYM ya Lazima ukae ya kinondoni Dar es salaam Bobani kulia ni Kocha wa masumbwi, Kwame Mkuruma wakati walipokutana kwenye msiba wa bondia Yohana Mathayo 'Tembo Mtoto' manzese Dar es salaam  ambapo shughuli za mazishi zinafanyika kwa ajili ya kusafilisha kesho kwena Korogwe mkoa wa Tanga ambapo uwagaji mwili wa marehemu utafanyika katika hospital ya mwananyamala kesho kuanzia saa 5 asubui na safari ya mazishi itanzia hapo hapo hospital picha na SUPER D

Bondia Raston Phill kushoto akisalimiana na Trene wa GYM ya Lazima ukae ya kinondoni Dar es salaam Bobani kulia ni Kocha wa masumbwi, Kwame Mkuruma wakati walipokutana kwenye msiba wa bondia Yohana Mathayo 'Tembo Mtoto' manzese Dar es salaam  ambapo shughuli za mazishi zinafanyika kwa ajili ya kusafilisha kesho kwena Korogwe mkoa wa Tanga ambapo uwagaji mwili wa marehemu utafanyika katika hospital ya mwananyamala kesho kuanzia saa 5 asubui na safari ya mazishi itanzia hapo hapo hospital picha na SUPER D
Baadhi ya mabondia na makocha wakiwa wamekaa katika msiba wa Yohana Mathayo 'Tembo Mtoto' Manzese Dar es salaam kutoka kushoto ni Chales Mashari,Victor Jaiti, Kocha wa Mashali,Bondia wa Timu ya Taifa, Bobani na Kocha Kwame Mkuluma

Wombelezaji wakiwa katika mkeka
Raston Phill akisalimiana na kocha kwame mkuluma
Baadhi ya mabondia na makocha wakiwa wamekaa katika msiba wa Yohana Mathayo 'Tembo Mtoto' Manzese Dar es salaam kutoka kushoto ni Chales Mashari,Victor Jaiti, Kocha wa Mashali,Bondia wa Timu ya Taifa, Bobani na Kocha Kwame Mkuluma na Raston Phill

No comments :

Post a Comment