Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, September 19, 2013

NBC YAKABIDHI ZAWADI KWA WASHINDI WA PROMOSHENI YA HIJJA YA ISLAMIC BANKING



 Kaimu Mkuu wa Huduma za Kibenki kwa kufuata kanuni za Kiislamu (Islamic Banking) wa Benki ya NBC, Yassir Masoud (katikati) akikabidhi mfano wa pasi ya kuingilia katika ndege ya kwenda na kurudi makka kwa mmoja wa washindi wa promosheni ya kushinda safari ya kwenda hijja, Juma Abdallah Kheri katika hafla ya makabidhiano iliyofanyika jijini Dar es Salaam leo. NBC itagharamia gharama zote zitakazomwezesha mshindi huyo pamoja na mwenza wake atakayemchagua kwenda kuhiji Makka, Saudi Arabia baadae mwezi Oktoba. Wa pili kushoto ni mke wa Juma, Sina Abdallah bwago atakayeambatana na mumewe kwenda hijja na kulia ni Meneja Uhusiano wa NBC, Eddie Mhina.
  Kaimu Mkuu wa Huduma za Kibenki kwa kufuata kanuni za Kiislamu (Islamic Banking) wa Benki ya NBC, Yassir Masoud (kulia) akikabidhi mfano wa pasi ya kuingilia katika ndege ya kwenda na kurudi makka kwa mmoja wa washindi wa promosheni ya kushinda safari ya kwenda hijja, Hajra Abdulrahman Ally katika hafla ya makabidhiano ilifanyika jijini Dar es Salaam leo. NBC itagharamia gharama zote zitakazomwezesha mshindi huyo pamoja na mwenza wake atakayemchagua kwenda kuhiji mjini Makka, Saudi Arabia baadae mwezi Oktoba.
 Kaimu Mkuu wa Huduma za Kibenki kwa kufuata kanuni za Kiislamu (Islamic Banking) wa Benki ya NBC, Yassir Masoud (katikati) akizungumza katika hafla hiyo jijini Dar es Salaam leo.

No comments :

Post a Comment