Mbunifu
wa mitindo nchini Asia Idarous akizungumza wakati wa uzinduzi wa
shindano jipya la wanamitindo linalojulikana kwa jina la Tanzania Top
Model uliofanyika kwenye mgahawa wa City Sports Lounge jijini Dar es
salaam jana na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali wa mitindo ya mavazi,
Kulia ni Jackson Kalikumtima Mkurugenzi wa Kamati ya Tanzania Top Model
KAMISHNA BADRU AENDELEA KUIMARISHA UHUSIANO NA JAMII INAYOISHI NDANI YA
HIFADHI YA NGORONGORO
-
Mwandishi wetu Endulen Ngorongoro.
Tarehe 20 Desemba, 2025
Uhusiano kati ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) na jamii inayoishi
ndani ya eneo la h...
17 hours ago
No comments :
Post a Comment