Mbunifu
wa mitindo nchini Asia Idarous akizungumza wakati wa uzinduzi wa
shindano jipya la wanamitindo linalojulikana kwa jina la Tanzania Top
Model uliofanyika kwenye mgahawa wa City Sports Lounge jijini Dar es
salaam jana na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali wa mitindo ya mavazi,
Kulia ni Jackson Kalikumtima Mkurugenzi wa Kamati ya Tanzania Top Model
KAMISHNA WA UHIFADHI NCAA BADRU AZINDUA CHAPA MPYA YA MAAJABU NGORONGORO
-
Na Kassim Nyaki, Ndutu Ngorongoro.
Waswahili husema aungurumapo Simba mcheza nani?
Tarehe 7 Februari, 2026 Simba ameunguruma ndani ya hifadhi ya Ngoron...
7 minutes ago
No comments :
Post a Comment