Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, September 20, 2013

CUF YAFANYA MKUTANO NA WANDISHI WA HABARI.



 Katibu Mkuu wa CUF Hamad Masoud (wakatikati) akizungumza na wandishi wa Habari kuelezea mambo mbilimbali yanayoendea Nchini, kulia Mjumbe wa Baraza Kuu la CUF Omar Ali Shehe na kushoto Mkurugenzi wa Haki za Binaadam Salum Bimani,katika Ofisi ya CUF Vuga Mjini Unguja.
  Mjumbe wa Baraza Kuu la CUF Omar Ali Shehe wa kwanza kulia akielezea kitu kwa wandishi wa Habari (hawapo pichani) kuhusu uwandikishaji wa Daftari la kudumu la wapiga Kura, katika Ofisi ya CUF Vuga Mjini Unguja.

 Baadhi ya wandishi waliohudhuria katika Mkuta huo, katika Ofisi ya CUF Vuga Mjini Unguja sep 19.

(Picha zote na Makame Mshenga Maelezo Zanzibar).

No comments :

Post a Comment