Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, September 18, 2013

KAMPUNI YA TOTAL YAZINDUA KITUO CHA PETROLI AFRICANA


Ofisa kutoka Wizara ya Nishati na Madini Bw.Fadhili Kileo kushoto  na Mkurugenzi mtendaji wa Total Bw. Stephane Gay wakikata utepe kuashilia kuzindua kituo kipya cha petroli cha Africana leo PIcha na mpiga picha wetu

baada ya kufanyika uzinduzi

Picha ya pamoja ya viongozi wa selekari pamoja na maofisa mbalimbali

Kaimu Mkurugenzi wa Shule za Msingi Bi,Sara Mraki akitoa neno la shukrani pamoja na kuwasisitiza walimu waliokabiziwa madawati wayatunze

 Mkurugenzi mtendaji wa Total Bw. Stephane Gay akipeana mkono na Ofisa kutoka Wizara ya Nishati na Madini Bw.Fadhili Kileo baada ya kukabizi madawati
 Mkurugenzi mtendaji wa Total Bw. Stephane Gay akipeana mkono na Mwalimu wa shule ya msingi Mchikichini Bi,Eliza Chiwamala wakati wa kukabiziwa madawati kwa shule za msingi mkoa wa Dar es salaam zilizotolewa na Total

Baazi ya walimu na wafanyakazi wa seloekarini wakiwa kwenye madawati baada ya kukabiziwa

No comments :

Post a Comment