Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, August 9, 2011

AIRTEL WADHAMINI MKUTANO MAALUMU WA MAINJINIA 2011

Airtel Public Relation Officer, Jane Matinde (R ) handover dummy cheque worth five million shillings to Deputy Principle CoET UDSM Prof. Felix Mtalo been sponsorship for engineering conference in celebration of the 50th Annivessary of the Univesity of Dar es salaam to be held 10th to 11th of August 2011. left is the chairman conference organization committee Dr. Juma Mohamed.

Airtel yadhamini mkutano maalum wa mainjinia UDSM Afisa uhusiano wa Airtel , Jane matinde (kulia) akikabidhi mfano wa cheque yenye thamani ya shilling millon tano kwa Naibu mkuu wa chuo cha uhandisi na technologia UDSM prof. Felix Mtalo kwa lengo la kuchangia seminar maalumu iliyoandaliwa kwaajili ya kusherehekea miaka 50 ya chuo kikuu cha Dar es salam itakayofanyika tarehe 10 hadi 11 Augasti 2011. Kushoto ni mwenyekiti kamati maandalizi ya kongamano Dr. Juma Mohamed.
Jackson Mmbando
Public Relation Manager
Airtel Tanzania

No comments :

Post a Comment