Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00
TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania
Tuesday, August 9, 2011
HAFLA YA KUFUTURSHA WANAFUZNI WA MADRASA NA YATIMA MAFIA
Wanafunzi wa Madrasatul Shamsia ya Mjini Mafia wakipokea kwa furaha katoni ya sabuni kutoka kwa Mkuu wa Masoko na Mahusiano wa kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania Mwamvita Makamba.Vodacom kupitia mfuko wake wa kusaidia jamii wa Vodacom Foundation ilitoa pia sadaka ya vyakula kwa ajili ya futari kwa wanafunzi zaidi ya mia tatu wa madrasa mbalimbali wilayani humo pamoja na kuwafuturisha mwishoni mwa wiki.Wanaoshuhudia ni Mkuu wa Vodacom Foundation Yessaya Mwakifulefule (katikati) na Imam Mkuu wa Msikiti mkuu wa Wilayani Ally Mwabaku.
. Mkuu wa mfuko wa kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom wa kusaidia jamii wa Vodacom Foundation Yessaya Mwakifulefule akimhudumia moja ya waumini wa dini ya Kiislamu wakati wa hafla ya kufuturisha iliyoandaliwa na mfuko huo katika msikiti mkuu wa wilaya Qadiriya na kuhudhuriwa na waislamu mbalimbali wakiwemo watoto zaidi ya mia tatu kutoka madrasa za mjini na vijijini zilzopo wilayani humo ikiwa ni sehemu ya kampeni ya Vodacom share and care ambapo kwa mwezi wa mfungo wa Ramadhani hulenga kufuturisha waislamu sehemu mbalimbali na kutoa sadaka ya futari kwa yatima na wajane.
Meneja Mawasiliano wa kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania Salum Mwalim akimhudumia futari shekhe Mkuu wa Wilaya ya Mafia Sheikh Yusuf Selemani wakati wa hafla ya kufuturisha wasilamu na watoto wa madrasa kisiwani Mafia iliyoandaliwa na Vodacom Foundation ambayo ni sehemu ya kampeni ya Vodacom ya kila mwaka ya share and care ambapo kwa mwezi wa mfungo wa Ramadhani hulenga kufuturisha waislamu sehemu mbalimbali na kutoa sadaka ya futari kwa yatima na wajane.
Wanafunzi wa Al-Madrasatul Hairislamia ya Mjini Mafia kwa furaha wakibeba kiloba cha mchele mara baada ya kukabidhiwa msaada wa sadaka ya futari kwa ajili ya mfungo wa Ramadhani.
.Wanafunzi wa Al-Madrasatul Hairislamia ya Mjini Mafia kwa furaha wakibeba kiloba cha mchele mara baada ya kukabidhiwa msaada wa sadaka ya futari kwa ajili ya mfungo wa Ramadhani. Vodacom kupitia mfuko wake wa kusaidia jamii wa Vodacom Foundation ilikabidhi sadaka kwa wanafunzi zaidi ya mia tatu wa madrasa mbalimbali za kisiwani Mafia yenye thamani ya zadi ya shilingi milioni tisa ikiwa ni sehemu ya kampeni ya Share and Care ambapo kwa mwezi wa Ramadhan hulenga kufuturisha waislamu na kutoa sadaka ya futari kwa watoto hususan yatima na pia wajane.
Ofisa Mkuu wa Masoko na Mahusiano wa Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania Mwamvita Makamba akikabidhi sehemu ya sadaka ya futari kwa watoto wa madrasa za wilayani Mafia yenye thamani ya zadi ya shilingi milioni tisa. Vodacom kupitia mfuko wake wa kusaidia jamii wa Vodacom Foundation ilikabidhi sadaka ya futari kwa watoto zaidi ya mia tatu wa kisiwani Mafia hafla iliyoambatana pia na kufuturisha katika msikiti mkuu wa Wilaya mwishoni mwa wiki. Wanaoshudia makabidhiano hayo ni Mkuu wa Vodacom Foundation Yessaya Mwakifulefule na Imam Mkuu wa Msikiti wa Wilaya Ally Mwabaku.
Kocha Kondo nassoro akimwelekeza bondia chipukizi Zainabu Mhamila (Ikota) huku nyuma akielekezwa jinsi ya kutembea na kocha Habibu Kinyogoli wakati wa mazoezi yanayoendelea katika kambi ya Ilala Dar es Salaam
DVD MPYA YA MASUMBWI YA BONDIA SAID MBWELWA
DVD MPYA YA BONDIA MTANZANIA SAID MBELWA AKICHEZA MAPAMBANO YAKE NJE YA NCHI KWA MAHITAJI FIKA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI AU PIGA SIMU 0713406938
KAVA YA VIDEO YA SUPER D BOXING COACH
SUPER D BOXING COACH DVD MPYA
DVD MPYA ZA SUPER D BOXING COACH SASA ZIPO SOKONI
DVD MPYA ZA MAFUNZO YA MCHEZO WA NGUMI ZIPO MTAANI KWA AJILI YA MAFUNZO YA MCHEZO HUO HIVI SASA KWA MAITAJI YA JUMLA NA REJAREJA PIGA SIMU
0787 0774 0754 4O6938 0713 0733 AU FIKA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI KARIAKOO DAR ES SALAAM AU FIKA JENGO LA AZAM MSIMBAZI KARIBU NA POLISI POST GEREZANI p.o.box 15493 DAR Email.superdboxingcoach@gmail.com http://www.facebook.com/groups
DVD ZA MAFUNZO YA MCHEZO WA NGUMI ZIPO MTAANI KWA AJILI YA MAFUNZO YA MCHEZO HUO HIVI SASA KWA MATAJI YA JUMLA NA REJAREJA PIGA SIMU 0787/0774/0715/0754/0733/0713-406938 AU FIKA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI 0652755838
SPORTSVIEWS
Visitors
Viwanjani time
DAWA YA NGUVU
TANGAZO
DAWA YA NGUVU ZA KIUME NA MSISIMKO KWA WANAWAKE WASIO NA HAMU YA TENDO LA NDOA AMBAYO HULETA MSISIMKO KWA WANAUME NA WAKE WAKUTANAPO.KWA SASA INAPATIKANA KWA BEI NAFUU HAPA JIJINI DAR ES SALAAM MAKUTANO YA MTAA WA KIPATA NA BARABARA YA MSIMBAZI
No comments :
Post a Comment