Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, August 6, 2011

NAPE ATEMBELEA JAMBO LEO, MAJIRA

Mkurugenzi Mtendaji wa Business Times, Aga Mbughuni akizungumza na Nape
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Jambo Concept, Juma Pinto (kushoto) akimkabidhi nakala ya hivi karibuni ya jarida la Jambo Tanzania, Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye alipotembelea ofisi za kampuni hiyo mjini Dar es Salaam, leo. Jambo Concept ndiyo wachapishaji wa gazeti la Jambo Leo. Wapili kulia ni Mhariri Mkuu wa Jambo Leo, Godfrey Lutego.
Pinto akizungumza na Nape ofisini kwake. Kushoto ni Ofisa Mtendaji wa Gazeti hilo, Benny Kisaka
Nape akimfafanulia jambo Juma Pinto
Nape akiagana na Benny Kisaka
Mkurugenzi Mtendaji wa Business Times, Aga Mbughuni akizungumza na Nape
Nape akionyeshwa maktaba ya Business Times wachapishaji wa magazeti ya majira , Dar Leo na Bussines Times inavyotunza kumbukumbu
Wafanyakazi wa Majira wakiwa Newsroom

No comments :

Post a Comment