Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, August 16, 2011

BFT WAPATA MSAADA WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI



Mwenyekiti wa Balaza la Michezo Nchini, Iddi Kipingu wa pili (kushoto) akiwa amevaa glove baada ya kukabidhi vifaa vya mchezo wa ngumi kwa Katibu wa Shirikisho la Ngumi za Ridhaa (BFT), Makore Mashaga Dar es salaam jana vilivyotolewa na Mamlaka ya Mfuko wa Pesheni ya Serekali za Mitaa (LAPF) kulia ni Makamu wa Rais Michael Changalawe

  1. KUTOKA KUSHOTO NI IDDI KIPINGU,MAKOLE MASHAGA,MICHAEL CHANGALAWE NA KOBA KIMANGA

Mwenyekiti wa Balaza la Michezo Nchini, Iddi KIpingu (kushoto) akikabidhi baadhi ya vifaa vya mchezo wa ngumi kwa Katibu wa Shirikisho la Ngumi za Ridhaa (BFT), Makore Mashaga Dar es salaam jana vilivyotolewa na Mamlaka ya Mfuko wa Pesheni ya Serekali za Mitaa (LAPF) kulia ni Makamu wa Rais Michael Changalawe

No comments :

Post a Comment