Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, August 21, 2011

BANTU GROUP BAND YAFURAHIA USHINDI WA KUTWAA KOMBE NA TIMU YA WAHENGA INAYOUNDWA NA WACHEZAJI WA ZAMANI KWENYE CLAB YA FREE TOWN SINZA UZURI



Mwanamuziki Mkongwe wa Muziki wa Dansi, Hamza Kalala akilisakata Solo Gitaa wakati wa kutoa burudani kwenye Klabu ya Free Town Manzese Uzuri Darajani jijini Dar es Salaam ambapo pia timu ya Wahenga inayoundwa na wachezaji wa zamani wa Simba na Yanga walipotwaa ubingwa na kuzawadiwa Kikombe kwenye ligi ya Kashilaga Tembe Cup

Mwimbaji wa Bantu Group akiimba

Mpiga Dram wa Bantu Group akifanya vitu vyake

Wachezaji na mashabiki wa timu ya Wahenga wakishangilia huku wakicheza mziki wakati Bantu Group wakitoa burudani

Wahenga wakishangilia

Mkurugenzi wa Free Town Clab akishangilia na Kikombe

Wakishangilia na kucheza

Wakifurahia

Ni shangwe kwenda mbele

No comments :

Post a Comment