Meneja Uhusiano wa Zantel, Charles Jutta (kushoto) akimkabidhi Waziri wa Mawasiliano na Miundombinu wa Zanzibar, Hamad Masoud Hamad luninga ambazo zitafungwa kwenye chumba cha kupokea wageni rasmi na chumba cha wanaosafiri katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Zanzibar, wakati wa hafla fupi iliyofanyika mjini Zanzibar jana. Msaada huu ni sehemu ya mchango wa Zantel wa mradi unaoendelea wa uwanja wa ndege wa Zanzibar.
RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN ATOA MKONO WA EID KWA WENYE UHITAJI DODOMA
-
Mkuu Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary S. Senyamule Machi 30,2025 amekabidhi kwa
niaba ya Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Daktari Samia
Suh...
10 hours ago
No comments :
Post a Comment