Meneja Uhusiano wa Zantel, Charles Jutta (kushoto) akimkabidhi Waziri wa Mawasiliano na Miundombinu wa Zanzibar, Hamad Masoud Hamad luninga ambazo zitafungwa kwenye chumba cha kupokea wageni rasmi na chumba cha wanaosafiri katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Zanzibar, wakati wa hafla fupi iliyofanyika mjini Zanzibar jana. Msaada huu ni sehemu ya mchango wa Zantel wa mradi unaoendelea wa uwanja wa ndege wa Zanzibar.
NYUMBU NA MSEMO WA "TAHADHARI NA ADUI KIUMBE
-
Msanii kutoka Zanzibar Bi Fatma Issa aliimba tahadhari na adui kiumbe,
daima asikusibu na Mungu akuepushie.
Nyumbu wakiwa wanazaliwa katika eneo la Nd...
16 hours ago
No comments :
Post a Comment