Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, August 28, 2011

WAREMBO WA VODACOM MISS TANZANIA WAJIACHIA KWENYE MICHEZO



Warembo wa Vodacom Miss Tanzania 2011 leo walikutana na kushiriki michezo ya aina mbalimbali na hapa nawaletea baadhi ya michezo hiyo ukiwepo wa kuogelea. Hawa walionesha kushinda lakini baade walivutwa.
upande wa pili mambo yalikuwa hivi na timu hii iliibuka washindi. Licha ya kamba kukatika mara mbili.
furaha ya ushindi kwa timu ya wavuta kamba.
Warembo wa Vodacom walifungua dimba na kati ya timu za M Pesa na Voda Jamaa.
Hashimu Lundenga nae alishiriki katika soka na hapa akifanya vitu vyake.
Ulifika wakati wa kucheza mziki na mshindi wa hapa alikabidhiwa kitita cha 50,000/= aliyekwenda msamba aliibuka mshinda.

No comments :

Post a Comment