Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, August 13, 2011

RAIS MSTAAFU MWINYI AKIKABIDHI MSAADA WA VYAKULA KWA ALBINO










RAIS mstaafu Ali Hassani Mwinyi akimkabidhi msaada wa Chakula, Mwenyekiti wa Chama cha Walemavu wa Ngozi (Albino) katika Wilaya ya Temeke, Bw. Kassim Kigwe katika hafla fupi iliyofanyika leo (jana) katika shule ya Sekondari Manzese Jijini Dar-Es-Salaam




PICHA ZOTE NA ANNA TITUS -MAELEZO.



RAIS mstaafu Ali Hassani akimsikiliza Katibu Mkuu wa Chama cha Walemavu wa Ngozi Tanzania Bi. Ziada Ali Sembo (hayupo picha) wakati alipokuwa akitoa shukrani kwa niaba ya watu wenye ulemavu katika hafla fupi ya kukabidhi chakula cha msaada kwa kundi hilo.




RAIS mstaafu Ali Hassani Mwinyi akizungumza na wananchi (hawapo pichani) katika hafla fupi ya kukabidhi chakula cha msaada kwa makundi yasiyojiweza katika jamii. Katika hafla hiyo iliyofanyika leo Dar-Es-Salaam, Rais Mwinyi alikabidhi viroba (vifurushi) 224 vya vyakula vyenye thamani ya Tsh Milioni 15.


RAIS mstaafu Ali Hassani Mwinyi akimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa taasisi ya Rehema, Bw. Abdi Adam wakati alipokuwa akitoa risala fupi ya taasisi hiyo. Watatu kutoka kwa Rais mstaafu ni Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Bi. Alshaymaa Kweir na anayemfuatia ni Katibu Mkuu wa Chama cha Walemavu wa Ngozi Tanznia, Bi. Ziada Ali Sembo.


No comments :

Post a Comment