Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, August 21, 2011

Rais Kikwete afuturu na wakazi wa mkoa wa Lindi aagiza viongozi kutatua tatizo la Maji mjini Lindi

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwasalimia baadhi ya wakazi wa mji wa Lindi waliohudhuria futari aliyowaandalia jana jioni mjini Lindi.Rais Kikwete alieleza kusikitishwa kwake na tatizo sugu la maji mji wa lindi na kuwaagiza viongozi wa mkoa huo kutatua tatizo hilo bila kuchelewa.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiwapa zawadi masista wa kanisa Katoliki mjini Lindi waliohudhuria futari iliyoandaliwa na Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete mjini Lindi jana jioni(picha na Freddy Maro).

No comments :

Post a Comment