Mkuu wa jeshi la Polisi nchini IGP Said Mwema akiteta jambo na mhariri wa picha wa gazeti la Jambo leo Richard Mwaikenda wakati walipokutana hivi karibuni katika moja ya majukumu ya kazi hivi karibuni wakati wa uzinduzi wa kutii sheria bila kushurutishwa, uliofanyika makao Makuu ya Wizara ya Mambo ya nje. Picha kwa hisani ya Gazeti la Changamoto.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment