Khalfan Kikwete, mtoto wa Rais Jakaya Kikwete(kushoto) akijaribu kuumiliki mpira aliposhiriki katika mazoezi ya timu ya Taifa ya Vijana chini ya miaka 17, kwenye Uwanja wa Karume Dar es Saalm, jana
Khalfan (kushoto) akiumiliki pia mpira wakati wa mazoezi hayo
NYUMBU NA MSEMO WA "TAHADHARI NA ADUI KIUMBE
-
Msanii kutoka Zanzibar Bi Fatma Issa aliimba tahadhari na adui kiumbe,
daima asikusibu na Mungu akuepushie.
Nyumbu wakiwa wanazaliwa katika eneo la Nd...
16 hours ago
No comments :
Post a Comment