Khalfan Kikwete, mtoto wa Rais Jakaya Kikwete(kushoto) akijaribu kuumiliki mpira aliposhiriki katika mazoezi ya timu ya Taifa ya Vijana chini ya miaka 17, kwenye Uwanja wa Karume Dar es Saalm, jana
Khalfan (kushoto) akiumiliki pia mpira wakati wa mazoezi hayo
TANZANIA ANGLOGOLD ASHANTI KUIMARISHA USHIRIKIANO
-
Dar es Salaam. Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, amekutana na ujumbe
wa kampuni ya madini ya AngloGold Ashanti kujadili maendeleo ya shughuli za ...
10 hours ago
No comments :
Post a Comment