Mohamed Raza ni Msanii Maarufu wa kimataifa ambaye ni hazina Halisi ya Taifu letu la Tanzania, alianza kazi yake ya sanaa za kuchora tokea enzi za Uhuru wa Tanganyika. Vizazi zaidi ya viwili vimenufanika na kuelimika kwa kusoma vitabu vyake tokea shule za msingi mpaka secondary hasa vya kiingereza kama familia ya Mr & Mrs Daudi na Mtakuja Primary School. Mbali na hapo Mzee Raza aliwahi kumchora Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere Miaka ya 1960 na kufanikiwa kupata kazi katika chama cha TANU. Pia aliwahi kufaya kazi katika ubalozi wa Marekani Hapa Tanzania miaka ya 70.
SARASI ZA UCHAGUZI WA TOC: USHINDI WA ANTHONY MTAKA NA SOMO LA UTAWALA BORA
KATIKA MICHEZO
-
Na Tullo Chambo
Dar es Salaam. Tasnia ya michezo nchini Tanzania imeshuhudia moja ya
vipindi vya misukosuko mikubwa katika historia ya Kamati ya Olim...
2 days ago
No comments :
Post a Comment