Mohamed Raza ni Msanii Maarufu wa kimataifa ambaye ni hazina Halisi ya Taifu letu la Tanzania, alianza kazi yake ya sanaa za kuchora tokea enzi za Uhuru wa Tanganyika. Vizazi zaidi ya viwili vimenufanika na kuelimika kwa kusoma vitabu vyake tokea shule za msingi mpaka secondary hasa vya kiingereza kama familia ya Mr & Mrs Daudi na Mtakuja Primary School. Mbali na hapo Mzee Raza aliwahi kumchora Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere Miaka ya 1960 na kufanikiwa kupata kazi katika chama cha TANU. Pia aliwahi kufaya kazi katika ubalozi wa Marekani Hapa Tanzania miaka ya 70.
NGORONGORO YAWAKUMBUSHA MADEREVA KUWA MAKINI NA KUZINGATIA SHERIA ZA HIFADHI
-
Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro imewakumbusha wamiliki na madereva wa
magari ya utalii kuwa makini , kuhakikisha magari yao yapo salama na
kuzingatia ...
19 hours ago
No comments :
Post a Comment