Mohamed Raza ni Msanii Maarufu wa kimataifa ambaye ni hazina Halisi ya Taifu letu la Tanzania, alianza kazi yake ya sanaa za kuchora tokea enzi za Uhuru wa Tanganyika. Vizazi zaidi ya viwili vimenufanika na kuelimika kwa kusoma vitabu vyake tokea shule za msingi mpaka secondary hasa vya kiingereza kama familia ya Mr & Mrs Daudi na Mtakuja Primary School. Mbali na hapo Mzee Raza aliwahi kumchora Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere Miaka ya 1960 na kufanikiwa kupata kazi katika chama cha TANU. Pia aliwahi kufaya kazi katika ubalozi wa Marekani Hapa Tanzania miaka ya 70.
BODABODA WANANE KUPANDISHWA KIZIMBANI KWA UHARIBIFU WA MALI
-
Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Protas Mutayoba Polisi Mkoa
wa Kipolisi Rufiji ametoa taarifa ya kukamatwa kwa watuhumiwa wnane ambao
ni bo...
2 hours ago
No comments :
Post a Comment