Mohamed Raza ni Msanii Maarufu wa kimataifa ambaye ni hazina Halisi ya Taifu letu la Tanzania, alianza kazi yake ya sanaa za kuchora tokea enzi za Uhuru wa Tanganyika. Vizazi zaidi ya viwili vimenufanika na kuelimika kwa kusoma vitabu vyake tokea shule za msingi mpaka secondary hasa vya kiingereza kama familia ya Mr & Mrs Daudi na Mtakuja Primary School. Mbali na hapo Mzee Raza aliwahi kumchora Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere Miaka ya 1960 na kufanikiwa kupata kazi katika chama cha TANU. Pia aliwahi kufaya kazi katika ubalozi wa Marekani Hapa Tanzania miaka ya 70.
NGORONGORO KIVUTIO CHA UTALII KILICHOTEMBELEWA ZAIDI MWAKA 2025.
-
Eneo la hifadhi ya Ngorongoro limetajwa kuwa ndio kivutio namba moja
kilichotembelewa zaidi na watalii kwa mwaka 2025 ambapo watalii 859,933
walitembe...
7 hours ago
No comments :
Post a Comment