Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, August 28, 2011

WAISLAMU WAALIKWA KATIKA SWALA YA IDD-EL-FITR VIWANJA VYA MNAZI MMOJA



Baraza Kuu la Waislamu Tanzania BAKWATA Mkoa wa Dar es Salaam August 26,2011 imetoa taarifa ya kuwaalika waislam wa mkoa wa Dar es Salaam kujitokeza kwa wingi katika swala ya IDD- El- FITR inayotarajiwa kuswaliwa siku ya Jumanne 30 Aug au Jumatano 31 Aug,2011 kutegemea na Muaandamo wa mwezi katika viwanja vya Mnazi mmoja jijini Dar es Salaam.Pichani Skeikh wa Mkoa wa Dar es Salaam Sheikh Alhadi Salum akitoa taarifa hiyo mbele ya waandishi wa habari alipokutana nao leo, (kulia) ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mkoa Dar es Salaam (BAKWATA) Sheikh Said Ponda na (kushoto ) Mjumbe wa Baraza la Masheikh Mkoa wa Dar es Salaam Sheikh Shukuru Kilakala. (Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO),

No comments :

Post a Comment