Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, August 6, 2011

Redds Yawakarimu Futari Warembo Wa Ilala, Temeke Na Kinondoni






Warembo wakipata futari iliyoandaliwa kwa ajili yao kampuni ya bia ya TBL kupitia Bia yake ya REDDS ambayo ni mzamini wa mashindano ya urembo. Futari hiyo iliandaliwa jana jioni katika hoteli ya City Garden, jijini Dar es Salaam.

Meneja wa bia ya Redds, Victoria Kimaro (wa kwanza kushoto) akipata futari sambamba na wadau wengi jana jioni katika hoteli ya City Garden wakati wa futali maalumu iliyoandaliwa kwa ajili ya warembo wa Temeke, Kinondoni na Ilala.

Warembo kutoka Kinondoni, Ilala na Temeke wakiwa katika picha ya paoja jana jioni katika Hotel ya City Garden mara baada ya futali iliyoandaliwa kwa ajili yao na kinyaji bia ya Redds. Picha zote na Victor Makinda

No comments :

Post a Comment