Mshambuliaji wa Simba, Edward Christopher akitafuta mbinu za kumtoka beki wa
Sofapaka ya Kenya , Anthony Kimani katika mchezo wa kimataifa wa
kirafiki uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Sofapaka ilishinda 3-0. (Picha na Dande Junior)
OFISI YA MSAJILI WA HAZINA YATWAA TUZO YA UANNDAAJI BORA WA TAARIFA ZA FEDHA
-
Na Mwandishi wa OMH
Dar es Salaam. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH) imeibuka Mshindi wa Pili –
tuzo za Uandaaji Bora wa Taarifa za Fedha 2024 (Kundi la I...
30 minutes ago
No comments :
Post a Comment