Pia kuhusu Dogo Janja kutoa Chorus za Tunda Man kwenye Nyimbo zake ,Tunda amesema jambo kama hilo linawezekana na tumeone wasanii wengi wakifanya hivyo.Beat za nyimbo zipo na sauti zake so ni kitu cha kufanya tu sio issue kubwa sababu huwezi ukasema nipo na TIPTOP Alafu unawatambulisha Watanashati.
MASHABIKI WA TAIFA STARS WAKINGIA KUTOA HAMASA KWA MKAPA
-
Mashabiki wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) na wapenzi wa mpira wa
miguu, tayari wameanza kusogea katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Jijini Dar
es...
6 hours ago
No comments :
Post a Comment