Pia kuhusu Dogo Janja kutoa Chorus za Tunda Man kwenye Nyimbo zake ,Tunda amesema jambo kama hilo linawezekana na tumeone wasanii wengi wakifanya hivyo.Beat za nyimbo zipo na sauti zake so ni kitu cha kufanya tu sio issue kubwa sababu huwezi ukasema nipo na TIPTOP Alafu unawatambulisha Watanashati.
KAMISHNA BADRU AMETOA PONGEZI KWA TIMU ZA NGORONGORO ZILIZOSHIRIKI SHIMMUTA
-
Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro Bwana Abdul-Razaq
Badru amezipongeza timu za Mamlaka hiyo zinazoshiriki mashindano ya
Shirikish...
54 minutes ago

No comments :
Post a Comment