Wanafunzi hao wakiwa na mabango yenye jumbe mbali mbali wamefanya maandamano hayo mchana wa leo kutoka chuoni hapo hadi makao makuu ya polisi mjini Dodoma kupinga utendaji kazi wa jeshi hilo na kulitaka kutoa majibu ya uchunguzi wa kifo cha mwenzao
MAKALLA,LAIZER WAZINADI FURSA ZA UTALII NA UWEKEZAJI NGORONGORO
-
Naibu Kamishna wa Uhifadhi, Huduma za Shirika Ngorongoro Bw. Aidan Makalla
(kulia) akiwa ameambatana na Abdiel Laizer Afisa Utalii Mkuu Msaidizi
amekutan...
3 hours ago
No comments :
Post a Comment