Wanafunzi hao wakiwa na mabango yenye jumbe mbali mbali wamefanya maandamano hayo mchana wa leo kutoka chuoni hapo hadi makao makuu ya polisi mjini Dodoma kupinga utendaji kazi wa jeshi hilo na kulitaka kutoa majibu ya uchunguzi wa kifo cha mwenzao
TBN "TUNAISHUKURU WIZARA YA HABARI,UTAMADUNI, ,SANAA NA MICHEZO ""
-
"Tanzania Bloggers Network TBN tunatoa shukrani za dhati kwa Serikali ya
Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, chini ya uongozi mahiri wa Rais Dkt. Samia ...
12 hours ago
No comments :
Post a Comment