Wanafunzi hao wakiwa na mabango yenye jumbe mbali mbali wamefanya maandamano hayo mchana wa leo kutoka chuoni hapo hadi makao makuu ya polisi mjini Dodoma kupinga utendaji kazi wa jeshi hilo na kulitaka kutoa majibu ya uchunguzi wa kifo cha mwenzao
SKA 2026 KUCHOCHEA UANDISHI WA HABARI ZA MAENDELEO
-
Na Mwandishi Wetu
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwa kushirikiana na Chama cha
Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA) zimeanza maandalizi ...
1 day ago

No comments :
Post a Comment