Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, January 24, 2013

WANAFUNZI ST JOHN DODOMA WACHOSHWA NA POLISI



Wanafunzi  wa  chuo  cha St John mjini Dodoma leo  waeandamana hadi ofisi  za jeshi la polisi  kulaami mauwaji ya mwanafunzi mwenzao aliyeuwawa kinyama na watu  wasiofahamika hivi karibuni.

Wanafunzi  hao  wakiwa na mabango  yenye  jumbe mbali mbali  wamefanya maandamano hayo mchana wa leo kutoka chuoni hapo hadi makao makuu ya polisi mjini Dodoma kupinga utendaji kazi  wa jeshi  hilo na kulitaka kutoa majibu ya uchunguzi wa kifo cha mwenzao

No comments :

Post a Comment