Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, January 24, 2013

MAXMILLIAN BUSHOKE AWAPA 5 MASHUJAA BAND



 Kiongozi wa bendi ya Mashujaa, Charz Baba (kushoto) akipeana mkono na aliyekuwa mwanamuziki wa Tanzania, ambaye kwa sasa ni mtangazaji wa moja ya redio ya nchini Afrika ya Kusini, Maxmillian Bushoke, wakati alipofika katika Ukumbi wa Green Acres, Victoria hivi karibuni kushuhudia onyesho la bendi hiyo, ambapo amewapongeza kwa kujituma na utunzi wa vibao vyenye ujumbe na vyenye ushindani katika Tasnia ya Muziki.
 Charz Baba, akiwachezesha wanenguaji wa bendi ya Mashujaa, wakati wa onyesho hilo, lililofanyika hivi karibuni, jijini Dar.
 Wanenguaji wa bendi ya Mashujaa, wakishambulia jukwaa, wakati wa onyesho hilo.
Makamuzi yakiendelea jukwaani

No comments :

Post a Comment