Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, January 24, 2013

KIJITONYAMA VETERANS YATOKA SARE YA 1-1 NA TABORA VETERANS


 Mchezaji wa timu ya Tabora Veterans ya jijini Dar es Salaam, Ibrahim Maestro, akijiandaa kupiga krosi, wakati wa mchezo wa kirafiki baina yao na Kijitonyama Veterans, mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa Bora Kijitonyama hivi karibuni. Katika mchezo huo timu hizo zilitoka sare ya kufungana 1-1.
 Mchezaji wa Kijitonyama Veterans, Sufianimafoto (kushoto) akikokota mpira wakati wa mchezo huo.
 Mchezaji wa Kijitonyama Veterans, Majuto Omary (kulia) akipiga mpira mbele ya Ibrahim Maestro, wakati  wa mchezo huo.
Baadhi ya wachezaji waa Kijitonyama Veterans, wakiwa mapumziko kujiandaa kurudi uwanjani kwa dakika 45 za kipindi cha pili.

No comments :

Post a Comment