Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, January 29, 2013

MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR BALOZI SEIF IDDI ATOA MAONI YAKE KWA TUME YA KATIBA.



Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akitoa Maoni yake binafsi kuhusu Mfumo wa Muundo wa Katiba Mpya ya Muungano wa Tanzania mbele ya Kamati ya kukusanya maoni hayo inayoongozwa na Jaji Joseph Sinde Warioba.
Mwenyekiti wa Kamati ya kukusanya Maoni ya Katiba Mpya ya Jamuhuri  ya Muungano wa Tanzania Jaji Joseph Sinde Warioba na Timu yake akisalimiana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi walipofika Ofisini kwake Vuga Mjini Zanzibar kupokea Maoni yake, kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa tume hiyo Dk.Salim Ahmed Salim kulia ni Mjumbe wa tume hiyo Jaji Mkuu Mstaafu Agostino Ramadhani.

No comments :

Post a Comment