Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, January 14, 2013

WAWAKILISHI WA SHINDANO LA GUINNES FOOTBALL CHALLEGE WAPAA KWENDA AFRIKA KUSINI



 Meneja wa kinywaji cha Guinness Davis Kambi (kushoto) akikabidhi tiketi za ndege kwa mwakilishi wa timu ya Tanzania, Mohamed Kobembe katika shindano la Guinnes Football Challege liltakalofanyika kuanzia Januari 14-22 Afrika Kusini. Makabidhiano hayo yalifanyika jijini Dar es Salaam.
Mmoja wa washiriki wa shindano hilo akizungumzia shindano hilo.

No comments :

Post a Comment