Meneja Masoko wa Kampuni ya Car and General, Jonathani Masanja akimuonesha Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuf Mwenda pikipiki ya miguu mitatu aina ya TVS King itakayotolewa kwa mshindi wa kwanza wa mashindano ya Meya Cup, katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana. NMB ni mdhamini mkuu wa mashindano hayo. (NA MPIGAPICHA WETU)
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment