Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, January 28, 2013

NGOWI MSIMAMIZI UBINGWA WA DUNIA



Na Elizabeth John
RAIS wa IBF katika bara la Afrika, Ghuba ya Uajemi na Mashariki ya Kati, Mtanzania Onesmo Ngowi anatarajia kuwa msimamizi Mkuu katika pambano la ubingwa wa dunia la vijana katika jiji la Johannesburg nchini Afrika ya Kusini.

Ngowi anatarajiwa kuwa msimamizi Mkuu katika mpambano huo utakaowakutanisha mabondia Ilunga Makaba kutoka Jamhuri ya Kidokrasia ya Kongo (DRC) mwenye makazi yake nchini Afrika ya Kusini na Gogita Gorgiladze anayetoka katika jiji la Tiblis, nchini Georgia.

Ngowi alisema, pambano la wawili hao wenye wiwango vinavyolingana Georgita (12) na Makaba (12) watapambana kugombea mkanda wa vijana wa wa dunia (Youth Title) wa Shirikisho la Ngumi la Ngumi la Kimataifa (IBF) katika uzito wa Cruiserweight Februari 15 mwaka huu katika hoteli ya nyota 5 ya Emperors Palace in Kempton Park, Gauteng katika jiji la Johannesburg.

Ngowi kama kamishena mkuu wa pambano hilo atasaidiwa na maofisa wafuatao ambapo mwamuzi ni Wally Snowball, Jaji namba moja Simon Xamlashe na namba tatu Jaap Van Niewenhuizen wote kutoka (Afrika Kusini) pamoja na  Jaji namba mbili Manuel Maritxalar (Spain).

Aliongeza kuwa pambano hilo ni kati ya mapambano zaidi ya 100 ya IBF yatakayofanyika katika bara la Afrika, Ghuba ya Uajemi na Mashariki ya Kati katika kipindi cha mwaka huu wa 2013 chini ya uradi wa IBF

No comments :

Post a Comment