Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, January 28, 2013

Izzo Business kutoka na ‘Ball Player’




Na Elizabeth John
MSANII wa muziki wa Hip hop nchini, Emmanuel Simwinga ‘Izzo Business’ anajipanga kuachia ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘Ball Player’ ambayo amewashirikisha wakali wa muziki huo, Quick Rocka na Albart Mangwea ‘Ngwea’.

Akizungumza na Habari Mseto jijini Dar es Salaam, Izzo Business alisema yupo katika hatua za mwisho za uandaaji wa kibao hicho ambapo anatarajia kukisambaza mwisho wa wiki hii.

“Naimani kazi hii itafanya vizuri katika soko la muziki huu kwani mashairi yake yamesimama na yanaujumbe mzito katika jamii naomba mashabiki wa muziki huu wakae mkao wa kula,” alisema Izzo Business.

Alisema kazi hiyo kaitengeneza kwa mtayarishaji maarufu hapa nchini ambaye anafanya vizuri, Lamar na kwamba kwasasa anajipanga kutengeneza video ya kazi hiyo.

Msanii huyo alishawahi kutamba na kibao chake cha ‘Ridhiwan’ mbali na kuwa na vibao vingi ambavyo alivifanya na kulishika soko la muziki huo.

No comments :

Post a Comment