Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, January 23, 2013

WAREMBO MISS UTALII WATEMBELEA FREE MEDIA




Warembo wakipata maelezo kutoka kwa Meneja Matangazo Twalib Mungulu walipotembea ofisi za Tanzania Daima katika Idara ya Matangazo.
 Washiriki wa shindano la Miss Utalii ngazi ya taifa, wakipata ufafanuzi wa uandaaji wa gazeti la Tanzania Daima, kutoka kwa Mhariri Mtendaji wa Free Media, Ansbert Ngurumo, wakati walipotembelea chumba cha habari cha gazeti hili jana jijini Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mhariri wa Michezo, Tullo Chambo. 
Mhariri wa Michezo wa gazeti la Tanzania Daima, Tullo Chambo akifafanua jambo. 
Baadhi ya warembo wakiwa katika kitengo cha usanifu kurasa. Kulia ni Maria Kayala na Mhariri wa Michezo, Tullo Chambo.
 Warembo wa Miss Utalii wakipa maelezo kutoka kwa Mkuu wa Kitengo cha Uhakiki wa Habari, Julius Kunyara.

No comments :

Post a Comment