Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, January 18, 2013

KITUO CHA KUSAMBAZA UMEME MJI MKONGWE ZANZIBAR CHAHARIBIKA, Mafundi wahaha kurejesha umeme, Balozi Seif awatembelea.



Meneja Mkuu wa Shirika la Umeme Zanzibar Ndugu Hassan Ali akimueleza Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif  alipofanya ziara fupi kuangalia harakati za wahandisi wa shirika la umeme kuondosha hitilafu iliyokikumba kituo cha kusambazia umeme mji mkongwe  Darajani mjini Zanzibar.
Wahandisi wa Shirika la Umeme Zanzibar (ZECO) wakijitahidi kurejesha huduma za umeme baada ya kituo cha kusambazia umeme ndani ya mji mkongwe kilichopo Darajani Mjini Zanzibar kupata hitilafu.
Hadi kieleweke!

No comments :

Post a Comment