Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, January 14, 2013

NSSF KAHAMA YATOA ELIMU KUHUSU MAFAO MBALIMBALI WANAYOYATOA KWA WAFANYAKAZI WA MGODI WA DHAHABU WA AFRICAN BARRICK GOLD (ABG) BULYANHULU



Afisa Mwandamizi wa NSSF Kahama, Lusajo Enest (kushoto), akitoa elimu kuhusu mafao mbalimbali yanayotolewa na mfuko huo kwa wafanyakazi wa Mgodi wa Dhahabu wa Bulyanhulu wakati wa Siku ya Wanafamilia.

  Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Taifa (NSSF) Kahama, Omari Mziya akizungumza kabla ya kukabidhi hundi.

Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Taifa (NSSF) Kahama, Omari Mziya (kulia), akikabidhi hundi ya Milioni 2/- kwa Meneja Mkuu wa Mgodi wa Dhahabu wa African Barrick Gold (ABG) Bulyanhulu, Dennis Hoof  ikiwa ni moja ya udhamini ya mfuko huo katika kufanikisha Siku ya Wanafamilia ya mgodi huo, iliyofanyika mgodini wilayani Kahama juzi. NSSF pia ilitoa jumla ya T-shirts 200.

No comments :

Post a Comment