Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, September 15, 2012

DK MIGIRO AKARIBISHWA NA KUPONGEZWA NA WANAWAKE DAR


 Mke wa Rais, Mama Salma Kikwete (katikati) akicheza segere wakati wa sherehe iliyoandaliwa na Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT-CCM), kumkaribisha na kumpongeza Dk. Asha Rose Migiro (kushoto) kwa kuwa mwamamke wa kwanza Afrika kushika wadhifa huo, leo kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja, Dar es Salaam. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)
 Spika wa Bunge, Anne Makinda na Mama Maria Nyerere wakiangalia wanawake wakiserebuka muziki wakati wa shere hiyo.
                           Mama Slma Kikwete akihutubia katika sherehe hiyo
                                                        Wanawake wa CCM wakicheza na kufurahi
 Aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Dk. Asha -Rose Migiro (aliyevaa miwani kushoto) akijumuika kucheza segere wakati wa sherehe iliyoandaliwa na Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT-CCM), kumkaribisha na kumpongeza kwa kuwa mwamamke wa kwanza Afrika kushika wadhifa huo, leo kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja, Dar es Salaam.
 Mama Migiro akiwapungia wageni waalikwa kwenye sherehe hizo
Sehemu ya akina mama wakicheza na kufurahi huku wakiwa na mabango ya kumpongeza Migiro

No comments :

Post a Comment