Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, September 15, 2012

ULIMWENGU WA KIISILAMU WINGU ZITO. Hii ni Kali kuliko!! Dunia yashuhudia maafa.


 Waandamanaji jijini Cairo Misri leo wakipambana na polisi kwenye eneo la karibu na viwanja vya Tahariri Squire mara baada ya swala ya Ijumaa leo mchana, Waisilamu duniani kote wamejawa na hasira mara baada ya kuzinduliwa filamu ya kukashifu Uisilamu na Mtume Mohamada (SAW).
 Waandamanaji wa Kiisilamu wenye hasira wa nchini yemen wakivunja ubalozi wa Marekani leo mchana mara baada ya sala ya Ijumaa, Waisilamu duniani kote wamejawa na hasira mara baada ya kutolewa filamu na raia wa marekani mwenye asili ya Israel inayokashifu Uisilamu na Mtume Mohamad (SAW).
 Kaaaaazi kweli kweli.
 Waisilamu wa Gaza nao waliungana na waisilamu wenzao duniani kote kwenye maandamano leo baada ya sala ya Ijumaa.
WAZEE WA KASHMIR
Police clash with Kashmiri lawyers during a demonstration against the controversial film "Innocence of Muslims" in Srinagar on September 14, 2012. (AFP PHOTO)
Waisilamu wa nchini Kuwaiti nao wameandamana leo mara baada ya sala ya Ijumaa.

No comments :

Post a Comment