Mh Waziri mkuu Mizengo
Pinda akiwasalimia majirani zake na kuwatakia heri ya mwaka 2013
kijijini kwao kibaoni katavi pichani anaonekana akiwa ana wasalimu mzee
Bernard Malyatabu Mayala (88) akiwa na mkewe bibi Bernadetha Kabandime Msuluba
(79) mh waziri mkuu yupo kijijini kwao kibaoni kwa mapumziko ya krismasi na
mwaka mpya. (Picha na Chris Mfinanga)
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiuliza bei ya nyama ya mbuzi akiwa katika kijiji cha Kibaoni.
WAUMINI TAG GOBA WATAKIWA KUISHI MAISHA YASIYYO NA HOFU
-
Mchungaji Mteule wa Kanisa la Kingdom Impact Christian Centre(TAG) Goba,
Dkt. Jonathan Chales Ndanshau amewataka waumini wa Kanisa hilo waishi
katika mai...
4 days ago
No comments :
Post a Comment